Home » » Ryan Giggs azungumza kuhusu Man U

Ryan Giggs azungumza kuhusu Man U

Written By Unknown on Jumapili, 27 Aprili 2014 | 01:14

Ryan Giggs amefanya mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari kama meneja wa muda wa timu ya soka ya Manchester United kufuatia kufutwa kazi kwa David Moyes mapema wiki hii .
Ameelezea siku chache zilizopita zimekuwa kama fujo tupu kwa klabu hiyo na akaahidi
kujaribu kurejesha tabasamu kwenye nyuso za mashabiki .
Hii ni kufuatia kufutwa kazi kwa meneja wa klabu hiyo David Moyes kutokana na matokeo mabaya ya klabu hiyo katika ligi ya Premier.
Alianza kwa kumshukuru Meneja wa zamani Moyes kwa kumpatia fursa ya kwanza kufanya kazi kama kocha.


Share this article :

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. bentabless.com - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger