Mwenyekiti wa Kamati Na. 1, Ummy Mwalimu, ametuhumiwa kukiuka kanuni kutokana na kutokusoma ripoti iliyoainisha maoni ya timu yake kama ilivyoandikwa.
Pamoja na jitihada za Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo Maalum la Katiba, Samia Suluhu Hassan, kupoza rabsha hizo, Mh. Mwalimu alizidi kuzua zogo pale aliporuka baadhi ya mapendekezo ya Walio Wachache katika ripoti yake.
Chapisha Maoni