Home » » WATU 6 WAUAWA KWA MILIPUKO NAIROBI

WATU 6 WAUAWA KWA MILIPUKO NAIROBI

Written By Unknown on Jumapili, 30 Machi 2014 | 09:14


Milipuko hiyo ililipuliwa na magaidi katika mghahawa mdogo na kituo cha mabasi kilichopo eneo hilo la Eastleigh.

Polisi wameeleza kuwa waliopoteza maisha walikuwa wamekwama ndani ya mghahawa huo wakati wakisubiri kununua chakula cha usiku.









                                              

Share this article :

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. bentabless.com - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger